// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA SC ILIVYOKABWA KOO NA MBEYA CITY TAIFA LEO...DHAIRA HANA HAMU NA WALE WATOTO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA SC ILIVYOKABWA KOO NA MBEYA CITY TAIFA LEO...DHAIRA HANA HAMU NA WALE WATOTO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, September 21, 2013

        SIMBA SC ILIVYOKABWA KOO NA MBEYA CITY TAIFA LEO...DHAIRA HANA HAMU NA WALE WATOTO

        IMEWEKWA SEPTEMBA 21, 2013 SAA 3:30 USIKU
        Biashara gani hii; Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira akiwa amepiga magoti kipweke, baada ya Mbeya City kupata bao la kusawazisha na toa sare ya 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo. 

        Jonas Mkuse akigombea mpira wa juu na mchezaji wa Mbeya City

        Winga wa Mbeya City, Deofratius Julius akiwatoka mabeki wa Simba SC

        Amri Kiemba wakiwania mpira na Anthony Matogolo wa Mbeya City

        Paul Nonga wa City akimiliki mpira katikati ya mabeki wa Simba SC, Hassan Hatibu na Joseph Owino kulia

        Betram Mombeki wa Simba kulia akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Mbeya City

        Mombeki na mabeki wa Mbeya City

        Mombeki na mabeki wa Mbeya City

        Mombeki na mabeki wa Mbeya City

        Mfungaji wa mabao mawili ya Simba SC leo, Amisi Tambwe akipambana na mabeki wa Mbeya City

        Paul Nonga wa Mbeya City akimtoka Amri Kiemba wa Simba SC

        Twaha Ibrahim wa Simba SC akimlamba chenga beki wa Mbeya City 

        Paul Nonga wa Mbeya City akimtoka Amri Kiemba 

        Hatari kwenye lango la Mbeya City

        Wachezaji wa Mbeya City wakiomba dua kabla ya mechi

        Twaha Ibrahim wa Simba akimpiga chenga beki wa Mbeya City

        Haroun Chanongo wa Simba SC akifumua shuti mbele ya beki wa Mbeya City

        Kikosi cha Mbeya City leo

        Kikosi cha Simba SC leo

        Benchi la Simba SC baada ya Mbeya City kusawazisha

        Mashabiki wa Mbeya City waliosafiri kutoka Mbeya

        Mashabiki wa Simba SC Taifa leo

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOKABWA KOO NA MBEYA CITY TAIFA LEO...DHAIRA HANA HAMU NA WALE WATOTO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry