• HABARI MPYA

        Thursday, September 26, 2013

        NI ARSENAL NA CHELSEA RAUNDI YA NNE KOMBE LA LIGI, UNITED NA VIBONDE NORWICH, NEWCASTLE NA MAN CITY

        IMEWEKWA SEPTEMBA 26, 2013 SAA 7:40 USIKU
        KLABU ya Arsenal itamenyana na wapinzani wao katika Jiji la London, Chelsea katika Raundi ya Nne ya Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup baada ya kuitoa West Brom kwa penalti 4-3 Uwanja wa Hawthorns.
        Mechi hiyo imeisha kwa sare ya 1-1 usiku huu, lakini penalti walizokosa Morgan Amalfitano na Craig Dawson zinawasongesha mbele Gunners.
        Through: United progressed on Wednesday night with a 1-0 win over Liverpool at Old Trafford
        Mbele: United imesonga mbele kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Old Trafford

        RATIBA KAMILI RAUNDI YA NNE CAPITAL ONE

        Sunderland v Southampton
        Leicester City v Fulham
        Birmingham City v Stoke City
        Manchester United v Norwich City
        Burnley v West Ham United
        Arsenal v Chelsea
        Tottenham v Hull City
        Newcastle v Manchester City
        Mechi zote zitachezwa Jumanne ya Oktoba 29 na Jumatano ya Oktoba 30.
        Manchester United baada ya kuwatoa wapinzan wao, Liverpool watamenyana na Norwich nyumbani katika Raundi ya Nne.
        Bao pekee la Javier Hernandez mapema kipindi cha pili katika ushindi wa 1-0 Old Trafford, linawakutanisha Mashetani Wekundu na The Canaries Oktoba 28.
        Birmingham iliyowatoa mabingwa watetezi Swansea kwa mabao 3-1 watacheza tena nyumbani katika 16 Bora, safari hii wakimenyana na timu ya Mark Hughes, Stoke.
        Licha ya kupangiwa wapinzani wagumu, lakini The Blues bado wanapewa nafasi kubwa ya kutwaa tena taji walilolitwaa mwaka 2011, na United ikiwa timu nyingine inayopewa nafasi pia baada ya kupangiwa Norwich.
        Katika mechi nyingine, Newcastle itaikaribisha Manchester City Uwanja wa St James Park baada ya kuwatoa Leeds, wakati Hull wataifuata Tottenham siku kadhaa baada ya kucheza mechi ya Ligi Kuu, Uwanja wa White Hart Lane.
        Timu isiyo na kocha kwa sasa, Sunderland itamenyana na Southampton, wakati West Ham watakwedna Kaskazini kumenyana na Burnley.
        Fulham ya Martin Jol itaifuata Leicester kusaka nafasi ya Robo Fainali.

        MIKWAJU YA PENALTI

        West Brom: Reid (penalti ya kwanza) amefunga, Rosenberg amefunga, Morrison amefunga, Dawson amekosa, Amalfitano amekosa
        Arsenal: Bendtner amefunga, Gnabry amekosa, Olsson amefunga, Akpom amefunga, Monreal amefunga
        Arsenal imeifunga West Brom kwa penalti 4-3
        Arsenal iliendeleza wimbi la ushindi kwa kuitoa kwa matuta West Brom Uwanja wa The Hawthorns na kuingia Raundi ya Nne.
        Eisfeld aliifungia Arsenal dakika ya 61 kabla ya Berahino kusawazisha dakika ya 71.
        Kikosi cha West Brom kilikuwa: Daniels, Reid, Popov, Lugano, Dawson, Sinclair, Dorrans, Mulumbu/Morrison dk91, Berahino/Amalfitano dk101, Long/Rosenberg dk91, Sessegnon
        Arsenal: Fabianski, Mertesacker, Vermaelen, Monreal, Jenkinson, Arteta/Bellerin dk95, Miyaichi, Gnabry, Hayden/Kris Olsson dk84, Bendtner, Eisfeld/Akpom dk82.
        Keeping his cool: Nacho Monreal stepped up to convert the winning penalty for Arsenal
        Ya ushindi: Nacho Monreal akiifungia Arsenal penalti ya ushindi
        Cue celebrations: Monreal's Arsenal team-mates rushed to congratulate the Spaniard after his strike
        Shangwe: Monreal na wachezaji wenzake wa Arsenalwakishangilia
        Nice work: Arsene Wenger talks to the returning Nicklas Bendtner before his penalty
        Kazi nzuri: Arsene Wenger akizungumza na Nicklas Bendtner kabla ya kupiga penalti yake
        Cool: Arsenal's Thomas Eisfeld netted the opener for the visitors after the hour mark
        Thomas Eisfeld akiifungia bao la kwanza Arsenal
        Neat finish: Thomas Eisfeld wheels away, celebrating his first senior goal for Arsenal
        Thomas Eisfeld akiondoka kushangilia bao lake
        Incoming: Nicklas Bendtner collides with the post in the first half at The Hawthorns
        Amerejea: Nicklas Bendtner alikuwa mwiba usiku huu The Hawthorns
        Incoming: Nicklas Bendtner collides with the post in the first half at The Hawthorns
        Incoming: Nicklas Bendtner collides with the post in the first half at The Hawthorns
        New look: The Denmark striker donned a beard and a David Beckham-esque haircut
        Mwonekano mpya: Mdenmark amekuja kwa staili ya nywele za David Beckham
        Congratulations: Bendtner and Eisfeld are mobbed by team-mates after Arsenal opened the scoring
        Pongezi: Bendtner na Eisfeld wakipongezwa na wachezaji wenzao
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: NI ARSENAL NA CHELSEA RAUNDI YA NNE KOMBE LA LIGI, UNITED NA VIBONDE NORWICH, NEWCASTLE NA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry