• HABARI MPYA

        Sunday, September 22, 2013

        CHISORA AMTWANGA MJERUMANI NA KUTWAA UBINGWA WA ULAYA

        Euro win: Dereck Chisora won the European heavyweight title
        IMEWEKWA SEPTEMBA 22, 2013 SAA 9:47 ALASIRI
        Bingwa wa Ulaya: Dereck Chisora akimchapa konde Mjerumani Edmund Gerber katika pambano la kuwania ubingwa wa Ulaya kwenye ukumbi wa Copper Box Arena mjini London. Chisora alishinda kwa Technical Knockout (TKO) Raundi ya tano.
        Title: Del Boy beat Edmund Gerber at the Copper Box
        Taji: Del Boy akipewa taji lake baada ya kumpiga Edmund Gerber ukumbi wa Copper Box
        Stoppage: The referee stopped the fight after a dominant performance from the Londoner
        piga kama mwizi: Refa alimaliza pambano baada ya Chisora kumpiga mpinzani wake mfululizo bila majibu
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: CHISORA AMTWANGA MJERUMANI NA KUTWAA UBINGWA WA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry