• HABARI MPYA

        Thursday, September 19, 2013

        ARSENAL YAANZA VYEMA ULAYA, YAWAFUMUA WAFARANSA 2-1 KWAO

        IMEWEKWA SEPTEMBA 19, 2013 SAA 6:53 USIKU
        ARSENAL imeanza vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda ugenini mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Marseille Uwanja wa Velodrome, Ufaransa.
        Mabao ya Gunners yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 65 na Aaron Ramsey dakika ya 83, wakati la wenyeji lilifungwa na Jordan Ayew kwa penalti dakika ya 90. 
        Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Gibbs, Koscienly, Mertesacker, Sagna, Flamini/Myaichi dk90, Wilshere, Ramsey, Ozil, Walcott/Monreal dk77 na Giroud.
        Marseille: Mandanda, Fanni, N'Koulou, Mendes, Morel, Romao, Imbula/Thauvin dk79,  Payet/J.Ayew dk72, Valbuena/Khalifa dk89, A. Ayew na Gignac.
        Stunner: Theo Walcott's volley set Arsenal on their way
        Kitu hicho: Theo Walcott ameifungia Arsenal 
        Stunner: Theo Walcott's volley set Arsenal on their way
        At it again: Aaron Ramsey scored his sixth goal of the season to make it two
        Kitu kingine: Aaron Ramsey amefunga bao la sita msimu huu
        At it again: Aaron Ramsey scored his sixth goal of the season to make it two
        Not my game: Mesut Ozil had to do a fair bit of tracking back
        Si mchezo wangu: Mesut Ozil alicheza kiungwana katika ukabaji wake
        Talented: Theo Walcott does his best to chase Marseille playmaker Mathieu Valbuena
        Kipaji: Theo Walcott akipambana na kiungo wa Marseille, Mathieu Valbuena
        On form: Jack Wilshere put in a combative midfield performance
        Yuko juu: Jack Wilshere alicheza vizuri katika nafasi ya kiungo
        No foul? A high boot is raised on Mathieu Flamini
        Sito rafu? Buti la juu likimuelekea Mathieu Flamini
        Club record: Arsenal tweeted their ten away victories
        Rekodi ya klabu: Arsenal imetweet mechi zake 10 ilizoshinda ugenini
        Hard to beat: Steve Mandanda kept Arsenal out until the 65th minute
        Hafunguki kwa urahisi: Steve Mandanda aliibania Arsenal hadi dakika ya 65
        Ouch: Arsenal felt they should have had a penalty after a foot was raised on Per Mertesacker
        Yalaaa: Arsenal walifikiri walistahili kupewa penalti baada ya buti hili alilopigwa Per Mertesacker
        On top: But did the Gunners rely on Ozil too much?
        Yuko juu: The Gunners ina sababu za kujivunia Ozil
        Consolation: Jordan Ayew nets a late penalty for the hosts
        La kufuta machozi: Jordan Ayew akifunga kwa penalti
        Workhorse: It's night like these that Flamini proves his worth
        Mchapakazi: Flamini alionyesha yeye ni mchezaji hodari
        Solid: Arsene Wenger (right) will be happy that Mertesacker and Wojciech Szczesny (left) kept a clean sheet
        Solid: Arsene Wenger (right) will be happy that Mertesacker and Wojciech Szczesny (left) kept a clean sheet
        Mgumu: Arsene Wenger (kulia) atafurahia Mertesacker na Wojciech Szczesny (kushoto) wasiporuhusu mabao
        Number one: Walcott salutes the crowd after the final whistle
        Nambari moja: Walcott akiupungua umati wa mashabiki baada ya mechi
        Contrast: Olivier Giroud found it difficult but Ramsey was fantastic again
        Alipigana: Olivier Giroud alishindwa, kufunga licha ya kupambana
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: ARSENAL YAANZA VYEMA ULAYA, YAWAFUMUA WAFARANSA 2-1 KWAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry