// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); LIVERPOOL YAUA 3-0, SUAREZ... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE LIVERPOOL YAUA 3-0, SUAREZ... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Sunday, July 28, 2013

        LIVERPOOL YAUA 3-0, SUAREZ...

        IMEWEKWA JULAI 28, 2013 SAA 12:05 JIONI
        MSHAMBULIAJI Luis Suarez ameendelea kuitumikia Liverpool kwa shingo upande majira haya ya joto hata katika mchezo wa leo, ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Thailand, mjini Bangkok.
        Mshambuliaji huyo wa Uruguay, ambaye anataka kuondoka Anfield, aliingia Uwanja Rajamangala dakika 30 za mwisho.
        Suarez alikaribia kufunga baada ya kupewa pasi na Steven Gerrard, lakini akakosa.
        Mabao ya Liverpool leo yamefungwa na Coutinho dakika ya 17, Aspas dakika ya 49 na Gerrard dakika ya 60.
        Kikosi cha Liverpool leo kilikuwa: Mignolet, Enrique, Agger, Toure/Skrtel dk69, Johnson, Lucas, Allen/Alberto dk80, Gerrard, Coutinho/Henderson dk69, Aspas/Ibe dk63 na Borini/Suarez dk63.
        Thailand: Hathairattanakool, Butmathan, Sokam, Daosawang, Wannasri, Lasoh, Anan, Songkrasin, Kraisorn, Wongsa na Dangda.
        Hugs and smiles: Liverpool captain Steven Gerrard with two Thailand players after the friendly win
        Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard akiwa amewakumbatia wachezaji wawili wa Thailand baada ya mechi hiyo
        Opener: Philippe Coutinho celebrates his 1-0 goal against Thailand in the first-half
        La kwanza: Philippe Coutinho akishangilia bao la kwanza 
        Captain marvel: Gerrard salutes the crowd after scoring Liverpool's third
        Gerrard akiurushia busu umati, baada ya kufunga bao la tatu la Liverpool
        Ahead: Coutinho sweetly struck the goal past the diving Thailand defenders
        Coutinho akifunga kwa kuupitisha mpira katikati ya mabeki wa Thailand walioanguka
        Questions marks on his future: A disappointed looking Luis Suarez on the bench for Liverpool
        Hakieleweki: Luis Suarez akiinuka kwenye benchi
        Still going strong: Gerrard had a strong game in the middle of Liverpool's midfield
        anamaambaa
        Header: Suarez came on around the hour mark and hit the bar before the end of the game
        Suarez alipoingia alifanya vitu
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: LIVERPOOL YAUA 3-0, SUAREZ... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry