SUNDERLAND WAMKUBALIA RAIS KIKWETE KUJENGA BONGE LA AKADEMI LA KISASA DAR ES SALAAM
IMEWEKWA JUNI 18, 2013 SAA 11:30 ALFAJIRI
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mwenyekiti na Mmiliki wa klabu ya Sunderland, Ellis Short na baadhi ya wanafunzi wanaosoma katika akademi ya Light, Sunderland jana mchana. Klabu hiyo kwa ushirikiano na Symbion Power Tanzania Limited imekubali kujenga akademi ya soka mjini Dar es Salaam kufuatia ombi la Rais Kikwete. Rais Kikwete yupo London kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. (Picha zote na Freddy Maro).
Rais Kikwete akizungumza na watoto wanaohudhuria masomo katika shule hiyo.
Kikwete akizungumza na Mmiliki wa Sunderland, Ellis Short katika Uwanja wa klabu hiyo, Stadium of Light
Rais Kikwete na watoto...Kitu kama hiki kinakuja Dar es Salaam
Rais Kikwete na msafara wake wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi. Wengine pichani ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Symbion’s Power Limited, Paul Hinks (kushoto), Mbunge wa Ilala, Musa Zungu (wa pili kushoto), Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (wa nne kushoto) na Waziri wa Ardhi, Profesa Anna Tibaijuka (kulia).
Ireland payback on Wales star Georgia's mind
-
Georgia Evans' Women's Six Nations campaign may have got off to a shaky
start but the back row has certainly made up for it and is eager to turn
the tables...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...