// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HISPANIA WAING'OA ITALIA KWA MATUTA KOMBE LA MABARA, FAINALI NA BRAZIL MARACANA...NI BALAA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HISPANIA WAING'OA ITALIA KWA MATUTA KOMBE LA MABARA, FAINALI NA BRAZIL MARACANA...NI BALAA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Friday, June 28, 2013

        HISPANIA WAING'OA ITALIA KWA MATUTA KOMBE LA MABARA, FAINALI NA BRAZIL MARACANA...NI BALAA

        IMEWEKWA JUNI 28, 2013 SAA 10:23 USIKU
        HISPANIA imeitoa Italia katika Kombe la Mabara kwa ushindi wa matuta wa 7-6 mjini Fortaleza, kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120 katika mchezo wa Nusu Fainali usiku huu.
        Wataliano walifungwa na Waspanyola katika Fainali ya Euro mwaka jana wameshindwa kulipa kisasi na sasa Fainali ya michuano hiyo mwaka huu Jumapili Uwanja wa Maracana, itawakutanisha wenyeji La Roja na Brazil wenyeji.
        Leonardo Bonucci wa Italia alikosa moja ya penalti 14 na Jesus Navas akaweka nyavuni mkwaju wa mwisho na kuipeleka Hispania Fainali.
        Close shave: Spain moved through to the Confederations Cup final after beating Italy on penalties in Fortaleza
        Ni tishio: Hispania wametinga Fainali ya Kombe la Mabara kwa kuifunga Italia kwa penalti mjini Fortaleza
        Dramatic: Spain triumphed 7-6 in a dramatic shootout to set up a dream final against Brazil
        Ushindi wa mbinde: Hispania wakishangilia 7-6 na sasa watamenyana na Brazil
        Heartbreak: Italy were left devastated after pushing the world and European champions the distance
        Maumivu: Italia wameng'oka

        Si zaidi ya mwaka uliopita, Italia walipigwa 4-0 mjini Kiev, lakini The Azzurri waliwasili Fortaleza wakiamini kisasi kinawezekana, ingawa haikuwa hivyo.
        Mikwaju ya penalti;  Jesus Navas alifunga a ushindi na kufanya 7-6 , baada ya Leonardo Bonucci mkwaju wake kuota mbawa.
        Wengine wote waliotangulia walifunga; upande wa Hispania ni Sergio Busquets,  Juan Manuel Mata,  Sergio Ramos, Gerard Pique, Andries Iniesta na Hernandez Xavi.
        Italia ni Riccardo Montolivo, Andrea Pirlo, Sebastian Giovinco, Daniele De Rossi, Alberto Aquilani na Antonio Candreva.
        Kikosi cha Hispania kilikuwa: Casillas, Arbeloa, Sergio Ramos, Pique, Jordi Alba, Xavi, Busquets, Iniesta, Pedro/Mata dk79, Torres/Javi Martinez dk94 na Silva/Jesus Navas dk52.
        Italia: Buffon, Maggio, Bonucci, Barzagli/Montolivo dk45,Chiellini, Candreva, De Rossi, Pirlo, Marchisio/Aquilani dk79, Giaccherini na Gilardino/Giovinco dk91.
        Off target: Italy blinked first in the shout-out when Leonardo Bonucci fired over at 6-6
        Anakosaaa: Leonardo Bonucci mkwaju wake uliota mbawa
        Decisive: Jesus Navas stepped up to score the winning penalty and send Spain to the final
        Ya ushindi: Jesus Navas alifunga ya mwisho, chini anashangilia
        Jesus Navas
        Jesus Navas

        Glamour: Worldwide superstar Shakira was in the stands in Fortaleza
        Shakira alikuwapo jukwaani Fortaleza 
        This one is for you: Pique celebrates Spain's victory by the tightest of margins
        Hii ni kwa ajili yako: Pique akishangilia ushindi wa Hispania
        Support: Shakira was watching her partner Pique in action for Spain 
        Shakira jukwaani
        Greetings: Shakira meets FIFA president Sepp Blatter in the VIP lounge
        Shakira alikutana na Rais wa FIFA, Sepp Blatter katika eneo la VIP uwanjani
        Support: Shakira was watching her partner Pique in action for Spain
        Shakira akimuangalia mpenzi wake Pique akiichezea HispaniaOn the box: A spectator enjoys the party atmosphere in Fortaleza
        Shabiki
        Evens: The teams were locked at 0-0 after 120 minutes in the all European semi-final
        Dakika 120 ziliisha 0-0 
        Outnumbered: Italy's Giorgio Chiellini tries to win a header against Sergio Ramos and Gerard Pique
        Giorgio Chiellini wa Italia akijaribu kupiga kichwa katikati ya Sergio Ramos na Gerard Pique
        Effort: Fernando Torres attempts a shot on goal as Gianluigi Buffon watches
        Jitihada: Fernando Torres alifumua shuti lililopanguliwa Gianluigi Buffon
        Stretch: Christian Maggio gets his head to the ball in front of Spanish goalkeeper Iker Casillas
        Anateleza: Christian Maggio alikaribia kumtungua kipa wa Hispania, Iker Casillas
        On the ball: Manchester City's David Silva attempts one of his elusive runs
        David Silva akipasua
        Held his nerve: midfielder Andres Iniesta slotted his penalty past Buffon in the Italian goal
        Andres Iniesta alimtungua Buffon kwa penalti
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: HISPANIA WAING'OA ITALIA KWA MATUTA KOMBE LA MABARA, FAINALI NA BRAZIL MARACANA...NI BALAA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry