![]() |
Khamis Mcha 'Vialli' kulia akimtoka beki wa FAR Rabat |
![]() |
Beki wa Azam FC, Waziri Salum akipanda kusaidia mashambulizi |
![]() |
Waziri Salum akimgeuza mchezaji wa FAR Rabat |
![]() |
Hatari kwenye lango la FAR Rabat |
![]() |
John Bocco akiwatoka mabeki wa FAR Rabat |
![]() |
John Bocco anakwenda na mpira... |
![]() |
Mashabiki wa Azam wakishangilia timu yao bila kuchoka |
![]() |
Kipre Tchetche akimtoka beki wa FAR Rabat |
![]() |
Khamis Mcha 'Vialli' akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa FAR Rabat |
![]() |
Kiungo wa Azam Salum Abubakar akipasua |
![]() |
Kikosi cha FAR Rabat leo |
![]() |
John Bocco akimuinua Kipre Tchetche baada ya kugongeasha mwamba dakika ya 90 na ushei |
![]() |
Kikosi cha Azam FC leo |
![]() |
Kipre Tchetche akisikitika baada ya kukosa bao la wazi |
![]() |
Gaudence Mwaikimba akiwania mpira dhidi ya beki wa FAR Rabat |
![]() |
Kipa Ali Grouni wa FAR Rabat akipangua mpira ya John Bocco |
![]() |
Kipre kulia akitafuta mbinu za kumtoka beki wa FAR Rabat |
![]() |
Kipre Tchetche kulia akimiliki mpira pembeni ya beki wa FAR Rabat |
![]() |
Waziri Salum na mchezaji wa FAR Rabat.... |
![]() |
Beki wa FAR Rabat akiondosha mpira mbele ya Kipre Tchetche |