• HABARI MPYA

        Sunday, January 27, 2013

        YANGA SC WAZEE WA UTURUKI WALIVYOWAKANDAMIZA MAAFANDE WA MAGEREZA LEO TAIFA


        Beki wa Prisons, Jumanne Elfadhil akijaribu kumzuia winga wa Yanga, Simon Msuva

        Msuva akiruka daluga la Elfadhil

        Msuva akiwatoka mabeki wa Prisons

        Msuva akiwachambua mabeki wa Prisons

        JJerry Tegete akimtoka mchezaji wa Prisons, Sino Augustino katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya TZ Prisons Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii. Yanga ilishinda 3-1.

        Tegete na Sino

        Sino amemgonga kwenye goti Tegete anayeugulia maumivu

        Sino anajiandaa kumiliki mpira Tegete akienda chini huku akiugulia maumivu

        Tegete akishangilia moja ya mabao yake na Msuva

        Tegete na msuva

        Wachezaji wa Yanga wakimpongeza Tegete kulia

        Hatari kwenye lango la Prisons

        Mpira uko nyavuni kulia, kipa wa Yanga Ally Mustafa 'Barthez' akiwa ameduwaa baada ya Prisons kupata bao lao

        Kavumbangu akifumua shuti

        Kavumbangu akimtoka Elfadhil

        Kavumbangu akimiliki mpira mbele ya mabeki wa Prisons

        Henry Mwalugala akiwa amelala kuondosha mpira miguuni mwa Nurdin Bakari
        Kocha wa Yanga SC, Mholanzi Ernie Brandts akisalimiana na kocha wa Prisons, Jumanne Challe kabla ya mchezo baina ya timu hizo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-1.

        Kikosi cha Prisons kilichoanza leo

        Kikosi cha Yanga kilichoanza leo

        Didier Kavumbangu akimtoka beki wa Prisons Jumanne Elfadhil katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii. Yanga ilishinda 3-1.

        Kavu amepiga krosi baada ya kupata mwanya
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: YANGA SC WAZEE WA UTURUKI WALIVYOWAKANDAMIZA MAAFANDE WA MAGEREZA LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry