// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MANJI NAYE ACHUKUA FOMU TFF, KUMEKUCHA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MANJI NAYE ACHUKUA FOMU TFF, KUMEKUCHA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, January 16, 2013

        MANJI NAYE ACHUKUA FOMU TFF, KUMEKUCHA


        Manji anazungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuchukua fomu

        Mmiliki wa klabu ya African Lyon, Rahim Kangenzi ‘Zamunda’ akimchukulia fomu ya kugombea Uenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu kwa niaba ya klabu za Ligi Kuu zilizompendekeza, Mwenyekiti wa Yanga SC, Yusuf Mehbub Manji (kulia) ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ilala, Dar es Salaam mida hii, kuelekea uchaguzi utakaofanyika Februari 24, mwaka huu mjini Dar es Salaam. Anayetoa fomu hiyo kushoto ni Ofisa wa TFF, Jonathan Aloyce Kakwaya.   

        Zamunda anamkabidhi fomu yake Manji
        Mhasibu wa TFF anamuandikia Manji risiti
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: MANJI NAYE ACHUKUA FOMU TFF, KUMEKUCHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry