// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ZANZIBAR NA BURUNDI KATIKA PICHA LEO KAMPALA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ZANZIBAR NA BURUNDI KATIKA PICHA LEO KAMPALA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, December 03, 2012

        ZANZIBAR NA BURUNDI KATIKA PICHA LEO KAMPALA

        Mfungaji wa penalti ya mwisho na ya ushindi ya Zanzibar, Abdallah Othman akikimbia kushangiloia baada ya kumaliza mechi ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge dhidi ya Burundi kwenye Uwanja wa Lugogo mjini Kampala, Uganda, Zanzibar ilishinda kwa penalti 6-5 baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90.

        Ndikumana chini, shughuli ya Issa Othman Ally kushoto

        Aggrey Moris akimdhibiti mshambuliaji wa Burundi

        Suleiman Kassim Selembe kulia anakokota ngoma

        Abdulaghan Gullam akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Burundi

        Aggrey Morris anapanda kusaidia mashambulizi baada ya kuokoa

        Selembe anapasua katikati ya watu

        Issa Othman Ally anaondoka na mpira mbele ya wachezaji wa Burundi

        Jaku Juma akipambana na beki wa Burundi

        Ndikumana akijuta baada ya kukosa penalti

        Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Ladislaus Komba kulia akimpongeza kocha wa Zanzibar

        Wachezaji wa Zanzibar wakimpongeza Abdallah Othman

        Wachezaji wa Zanzibar na baadhi ya viongozi wakimpongeza Abdallah Othman katikati aliyesujudu

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: ZANZIBAR NA BURUNDI KATIKA PICHA LEO KAMPALA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry