![]() |
John Bocco 'Adebayor' akigombea mpira na beki wa Sudan |
![]() |
Mashabiki Stars kwa raha zao |
![]() |
Wachezaji Stars wakimpongeza Bocco baada ya kufunga bao la kwanza |
![]() |
Benchi la Ufundi Stars, kutoka kushoto kocha Mkuu, Kim Poulsen, Msaidizi wake, Sylvester Marsh, Meneja, Leopold Tasso 'Mukebezi na kocha wa makipa Juma Pondamali |
![]() |
Amir Maftah akimtoka beki wa Sudan |
![]() |
Erasto Nyoni akitafuta mbonu za kumtoka beki wa Sudan |
![]() |
Salum Abubakar akigombea mpira na kiungo wa Sudan |
![]() |
Simon Msuva akigombea mpira na beki wa Sudan |
![]() |
Mrisho Ngassa akimtoka beki wa Sudan |
![]() |
John Bocco aliingia nao mpira nyavuni kufunga bao la pili |