ETHIOPIA YAIFUNGA KWA MBINDE SUDAN KUSINI TUSKER CHALLENGE
Mshambuliaji
wa Sudan Kusini, Hamisi Leon akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Ethiopia katika
mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na kati, CECAFA
Tusker Challenge uliofanyika kwenye Uwanja wa Mandela, Mamboole, Kampala,
Uganda. Ethiopia imeshinda 1-0, bao pekee la Yonatal Kebede Teklemariam kipindi
cha pili.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...