![]() |
Hapa wanakula Ice Cream za Azam baada ya mazoezi |
![]() |
Kutoka kulia Lameck Dayton, Saidi Swedi na Suleiman Kassim 'Selembe' |
![]() |
Atuepeke Green kulia |
![]() |
Jakcosn Chove |
![]() |
Nahodha Saidi Swedi 'Panucci' |
![]() |
Selembe |
![]() |
Benchi la Ufundi, kutoka kulia ni Kocha Msaidizi, Ally Kiddy, Kocha Mkuu, AHmed Morocco, Mkurugenzi wa Ufundi, Nassor Bin Slum na Kocha wa Makipa, Juma Pondamali |
![]() |
Atupele Green anamtoka mtu mazoezini |
![]() |
Atuepele Green kushoto |
![]() |
Pamoja na kuwa Mkurugenzi wa Ufundi, lakini Nassor hufanya majukumu ya Kit Manager pia |
![]() |
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Iddi Moshi akiwa na kiungo wa Coastal, Mohamed Bin Slum |
![]() |
Morocco akijadiliana na Pondamali |
![]() |
Daniel Lyanga, mtambo wa mabao wa Coastal Union |