// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA NA AZAM FC KATIKA PICHA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA NA AZAM FC KATIKA PICHA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, October 27, 2012

        SIMBA NA AZAM FC KATIKA PICHA

        Mwadini Ali akiruka bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Felix Sunzu na kuipatia Simba bao la kusawazisha katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1.  
        Kocha wa Azam, Boris Bunjak na Msaidizi wake, Kali Ongala wakishuhudia kipigo
        Azam wakipiga ndiki kabla ya mechi
        Nahodha wa Simba, Juma Kaseja akisali kabla ya mechi

        Kaseja akishukuru baada ya sala

        Salum Abubakr akipiga mpira
        John Bocco akielea kushangilia baada ya kufunga
        Bocco akichechemea baada ya kuumia
        Salum Abubakar katikati ya wachezaji wa Simba, Jonas Mkude kulia na Okwi kushoto
        Benchi la Azam
        Shomary Kapombe akimdhibiti Samir Hajji Nuhu
        Kaseja akiwapanga mabeki wake wakati wa kona
        Kipre Tcheche akimtoka Paschal Ochieng
        Samir Hajji Nuhu akitafuta mbinu za kumtoka Kapombe
        Kapombe baada ya kumpokonya mpira Nuhu anaondoka nao
        Okwi akitafuta mbinu za kumtoka Ibrahim Shikanda wa Azam
        Juma Kaseja akisujudu baada ya Simba kusawazisha bao
        Simba wakipongezana baada ya bao la pili
        Mkude akimiliki mpira


        Ochieng akizungumza na Kaseja
        Ngassa anasafiri
        Himi Mao Mkami akimtoka Mwinyi Kazimoto
        Ochieng amelala kuondosha mpira miguuni mwa Kipre Tcheche, huku Amri Kiemba akiwa tayari kumsaidia
        Mkude anaondoka na  mpira mbele ya Abubakr wa Azam, huku Amir Maftah akiwa tayari kumpa msaada
        Bocco anamtoka Ochieng
        Simba wakishuangilia bao la Sunzu
        Rafu iliyomtoa nje Bocco, aligongana na Kiemba
        11 wa Simba walioipiga Azam leo
        Humud akiwa hewani na Sunzu
        Ngassa anawatoka wachezaji wa Azam
        Ngassa anamuwajibisha Said Mourad
        Okwi akijiandaa kufunga bao la tatu
        Mwadini pamoja na kufunhgwa matatu, lakini aliokoa ya kutosha
        Ulinzi ulikuwa mkali, lakini Okwi alipiga mbili
        Kiungo wa zamani wa Azam na Simba, Shekhan Rashid akishuhudia mechi hiyo. Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Azam, Heri Mzozo
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: SIMBA NA AZAM FC KATIKA PICHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry