• HABARI MPYA

        Saturday, October 20, 2012

        ROONEY APIGA MBILI MAN UNITED IKIUA 4-2, VAN PERSIE NA WELBECK NAO WAFUNGA


        Wayne Rooney amefunga mabao mawili na kuanza mapema kusherehekea  miaka yake 27 ya kuzaliwa wakati Manchester United' ikiifunga 4-2 Stoke, hivyo kutimiza mabao 200 katika klabu hiyo. Mabao mengine yalifungwa na Danny Welbeck na Robin van Persie.

        TAKWIMU ZA MECHI

        Man United: De Gea, Da Silva, Ferdinand, Evans, Evra, Valencia (Nani 74), Scholes (Anderson 70), Carrick, Welbeck (Hernandez 78), Van Persie, Rooney
        MABAO: Rooney dk27, dk65, Van Persie dk44, Welbeck dk46
        NJANO: Scholes
        BENCHI: Lindegaard, Giggs, Powell, Wootton

        Stoke: Begovic, Cameron, Huth, Shawcross, Wilson, Nzonzi, Whitehead (Palacios 86), Walters (Etherington 70), Adam, Kightly (Owen 74), Crouch
        MABAO: Rooney (kujifunga) dk 11, Kightly dk58
        NJANO: Kightly
        BENCHI: Sorensen, Jones, Upson, Wilkinson
        REFA: Anthony Taylor (Cheshire)

        The right end: Wayne Rooney (No 10) cancels out his own goal with a header to draw Manchester United level
        Wayne Rooney (Na 10) akifunga kwa kichwa



        That's more like it: The familiar feeling of scoring at the right end delighted Wayne Rooney
        Wayne Rooney baada ya kufunga
        Ground force: Robin van Persie watches his effort find the net for Manchester United against Stoke
        Robin van Persie akishuhudia mpira unavyotinga nyavuni baada ya jitihada zakeOuch: Stoke keeper Asmir Begovic collides with Robin van Persie as he attempts to clear the danger
        Kipa wa Stoke, Asmir Begovic akimvaa Robin van PersieOh no: Wayne Rooney wanted the ground to swallow him up after giving Stoke the lead
        Wayne Rooney alifanya kosa lililolipa Stoke bao la kuongoza
        Low blow: Danny Welbeck hit the deck as he helped himself to a goal at Old Trafford
        Danny Welbeck akishughulika
        Three and easy: United forwards Wayne Rooney (left), Robin van Persie and Danny Welbeck (right) all scored
        Washambuliaji wa United, Wayne Rooney (kushoto), Robin van Persie na Danny Welbeck (kulia)  wote walifunga

        SOURCE: http://www.dailymail.co.uk
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: ROONEY APIGA MBILI MAN UNITED IKIUA 4-2, VAN PERSIE NA WELBECK NAO WAFUNGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry