• HABARI MPYA

        Sunday, October 14, 2012

        MASHALI ULINGONI NA MGANDA LEO MANZESE

        Kulia ni Thomas Mashali wa Tanzamia na kushoto ni Sebyala Meddy wa Uganda wakiwa na rais wa ECAPBA, Onesmo Ngowi wakati wa kupima uzito jana kwa ajili ya pambano la leo kwenye ukumbi wa Friends Corner, Manzese, Dar es Salaam.

        Kushoto ni Thomas Mashali wa Tanzamia na kulia ni Sebyala Med wa Uganda wakiwa na rais wa ECAPBA Onesmo Ngowi wakati wa kupima uzito jana

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: MASHALI ULINGONI NA MGANDA LEO MANZESE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry