• HABARI MPYA

        Sunday, September 30, 2012

        KUELEKEA PAMBANO LA WATANI; MARA NYINGI YANGA HUFUNGWA USIKU

        Kutoka kulia; Emmanuel Okwi, Patrick Mafisango (marehemu) na Felix Sunzu wakishangilia bao la penalti alilofunga Sunzu katika mechi ya mwisho ya usiku kukutanisha miamba hiyo. Simba ilishinda 2-0 Agosti 17, mwaka jana Uwanja wa Taifa, je, Jumatano itakuwaje?

        Na Mahmoud Zubeiry
        MECHI ya Jumatano ya watani wa jadi, Simba na Yanga itaanza saa 11:00 jioni na itamalizika kuanzia saa 1:00, wakati giza limekwishaingia uwanjani. Je, unajua matokeo ya mechi zilizopita za watani zilizoishia gizani? BIN ZUBEIRY yupo kwa ajili yako, pata vituz.

        MATOKEO YA MECHI ZA WATANI USIKU:
        JANUARI 1975
        Yanga Vs Simba; Fainali, 2-0
        WAFUNGAJI: Gibson Sembuli na Sunday Manara
        Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati

        JANUARI 1992
        Simba Vs Yanga; Fainali
        1-1, Simba ilishinda kwa penalti 5-4
        Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati

        JANUARI 12, 2011
        Simba Vs Yanga; Fainali 2-0
        WAFUNGAJI: Mussa Mgosi dk 33, Shijja Mkinna dk 71
        (Uwanja wa Amaan, Zanzibar)
        Kombe la Mapinduzi

        OKTOBA 27, 1992
        Simba v Yanga
        1-0
        MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.
        Ligi ya Muungano

        AGOSTI 17, 2011
        Simba vs Yanga 2-0, Dar
        WAFUNGAJI:
        Haruna Moshi ‘Boban’ dk 15 na Felix Sunzu dk 38.
        Ngao ya Jamii
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: KUELEKEA PAMBANO LA WATANI; MARA NYINGI YANGA HUFUNGWA USIKU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry