// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HASHEEM THABEET NA NYOTA WENZAKE WA NBA WATOA MAFUNZO YA KIKAPU DAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HASHEEM THABEET NA NYOTA WENZAKE WA NBA WATOA MAFUNZO YA KIKAPU DAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Friday, August 24, 2012

        HASHEEM THABEET NA NYOTA WENZAKE WA NBA WATOA MAFUNZO YA KIKAPU DAR

        NYOTA wa mpira wa kikapu kutoka Marekani, Hasheem Thabeet Mtanzania anayehezea Oklahoma City, Luol Deng Muingereza mwenye asili ya Sudan Kusini, anayechezea Chicago Bulls leo wameendesha programu ya kliniki kusaka vipaji vya mpira wa kikapu kwa wanafunzi wa shule za sekondari za Dar es Salaam kwenye viwanja vyta Don Bosco, Upanga.
        Kliniki hiyo ilihudhuria na nyota wengine wa NBA, akiwemo Adam Andre, Masai Ujiri, mmiliiki na Meneja wa timu ya Denver Nuggets, Amadaou Gall Fall na Kocha J.
        Alikuwepo pia Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Tanzania, Juliana Yassoda, Balozi Mdogo wa Marekani, Robert K Scott, Rais wa Chama cha  Mpira wa Kikapu (TBF), Mussa Mziya na Makamu wake, Phares Magesa.
        Zoezi lilianza saa nne asubuhi kwa hotuba ndefu, zilizowafanya watoto waungue juwa muda wa zaidi ya saa mbili, kabla ya kuanza kupewa mafunzo hayo. Pichani ni watoto waliohudhuria wakiteseka na jua kwa kusikiliaza hotuba ndefu.

        Watoto juani

        Magessa akizungumza na Scott

        Mdau wa michezo,l Athumani Tippo 'Zizziu' kushoto akiwa ma Michael Maluwe wa TBF

        Mziya kulia akizungumza na Mama Yassoda. Kushoto ni Magessa

        Ona watoto walivyoteseka na jua

        Watoto juani

        Watoto juani

        Meneja Bidhaa wa Coca Cola, akitoa hotuba 'fupi'

        Kocha Everist Mapunda akiwa na wachezaji wa Vijana, Anthony Leikanga, Gidibo Tindwa, Sada Ilyas 

        Mtoto Felix Tippo kulia akisikiliza hotuba

        Mama Yassoda akienda kurusha mpira kuzindua kliniki hiyo

        Balozi Scott akitoa maelekezo kwa watoto

        Amadou Fall akimsaidia mtoto kurusha mpira kwenye kikapu

        Kutoka kulia Hasheem, Masai na Luol 

        Kutoka kulia Balozi Scott, Masai na Magesa

        Kutoka kulia Luol, Hasheem, Scott, masai na Magessa

        Magessa katikati akiwa na Luol kulia na Hasheem kushoto

        Kliniki

        Masai kushoto na Amadaou

        Kliniki

        Hasheem akizungumza na mdau

        Kliniki

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: HASHEEM THABEET NA NYOTA WENZAKE WA NBA WATOA MAFUNZO YA KIKAPU DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry