// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BENDTNER ATUA JUVE, AFANYIWA VIPIMO VYA AFYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BENDTNER ATUA JUVE, AFANYIWA VIPIMO VYA AFYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Friday, August 31, 2012

        BENDTNER ATUA JUVE, AFANYIWA VIPIMO VYA AFYA


        Nicklas Bendtner amefanyiwa vipimo vya afya leo Juventus kuelekea mpango wa uhamisho wake kutoka Arsenal. Bendtner, alicheza kwa mkopo Sunderland msimu uliopita, na amekuwa akitafuta njia ya kutokea Emirates tangu kutua kwa Lukas Podolski na Olivier Giroud. Juve ilirejesha nia ya kumsajili Bendtner baada ya kumkosa mshambuliaji wa Manchester United, Dimitar Berbatov.
        Italian job: Nicklas Bendtner is set to leave Arsenal for Juventus
        Nicklas Bendtner anaondoka Arsenal kuelekea Juventus

        Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2196205/Nicklas-Bendtner-set-Juventus-medical.html#ixzz258iR6zY2
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: BENDTNER ATUA JUVE, AFANYIWA VIPIMO VYA AFYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry