// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); XAVI AVUNJA REKODI YA PASI ULAYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE XAVI AVUNJA REKODI YA PASI ULAYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Friday, June 15, 2012

        XAVI AVUNJA REKODI YA PASI ULAYA


        Xavi Hernández - Spain
        Xavi

        KIUNGO wa Hispania, Xavi amevunja rekodi ya kugawa pasi katika Kombe la Mataifa ya Ulaya usiku huu, akiiongoza timu yake kushinda 4-0 dhidi ya Jamhuri ya Ireland.
        Kiungo huyo mchezeshaji alitoa mapande 136 usiku wa Alhamisi na kati ya hizo pasi 127 zilifika kwa walengwa. Rekodi ya awali ya pasi 117 iliwekwa na gwiji wa Uholanzi, Ronald Koeman, ambaye alifanya mavitu hayo katika michuano ya mwaka 1992 dhidi Denmark.
        Hispania pia iliweka rekodi katika michuano ya Ulaya, kutokana na kugonga pasi 860 dhidi ya Vijana wa Kijani.
        La Roja walikisambaratisha kikosi cha Giovanni Trapattoni 4-0 huku wakitawala mchezo kwa asilimia 78.
        Sasa wanaongoza Kundi C sambamba na Croatia, ambao watamenyana nao katika mechi ya mwisho ya kundi hilo Jumatatu.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: XAVI AVUNJA REKODI YA PASI ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry