Ronaldo
|
The Seleccao walipoteza mechi hiyo, baada ya Joao Moutinho na Bruno Alves wote kukosa penalti zao, huku Ronaldo - akikosa nafasi ya kupiga penalti ya mwisho kumtungua kipa wa klabu yake, Real Madrid, Iker Casillas.
"Nilikuwa nakwenda kupiga penalti ya tano, lakini tulikosa mbili," Ronaldo aliwaambia Waandishi. "Lilikuwa ni swali nililozungumza na kocha. Aliniambia: 'Unataka kupiga penalti ya tano?' NIkamuambia ndio.
"Wakati mwingine napiga ya kwanza, ya pili au ya tatu. Nilikubali kupiga ya tano.
"Natumai Hispania watachukua ubingwa sasa, kwa sababu nina marafiki wengi kule na itakuwa fainali kali kwao.
0 comments:
Post a Comment