// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Wednesday, June 06, 2012

    NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO

    Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Abdallah Juma akijifua katika gym ya Kelken , Chang'ombe, Dar es Salaam asubuhi ya leo.
    Kocha wa makipa, James Kisaka naye akijifua

    Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu'akizungumza na mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Abdallah Juma akiendelea na mazoezi

    Patrick Mbiyavanga kutoka DRC
    Meneja Vifaa vya Michezo wa Simba, Kessy Rajab naye akijifua 
    Mbiyavanga akijifua
    Mbiyavanga

    Amri Kiemba akijifua
    Salum Machaku naye alikuwepo


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry