// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, June 06, 2012

        NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO

        Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Abdallah Juma akijifua katika gym ya Kelken , Chang'ombe, Dar es Salaam asubuhi ya leo.
        Kocha wa makipa, James Kisaka naye akijifua

        Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu'akizungumza na mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Abdallah Juma akiendelea na mazoezi

        Patrick Mbiyavanga kutoka DRC
        Meneja Vifaa vya Michezo wa Simba, Kessy Rajab naye akijifua 
        Mbiyavanga akijifua
        Mbiyavanga

        Amri Kiemba akijifua
        Salum Machaku naye alikuwepo


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: NYOTA SIMBA WAKIJIFUA GYM ASUBUHI YA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry