// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MASTAA AZAM FC WAKITANUA VIFUA KATIKA GYM LA KISASA CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MASTAA AZAM FC WAKITANUA VIFUA KATIKA GYM LA KISASA CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Thursday, June 14, 2012

        MASTAA AZAM FC WAKITANUA VIFUA KATIKA GYM LA KISASA CHAMAZI

        Asubuhi ya leo, BIN ZUBEIRY ilitembelea kambi ya Azam FC, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kuwakuta wachezaji wa timu hiyo, itakayoiwakilisha Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho la Soka Afrika mwakani wakijifua kwa mazoezi ya kujenga miili chini ya makocha wao, Waingereza, Stewart Hall na Msaidizi wake, Kalimangonga Sam Daniel Ongala kwenye gym kali na ya kisasa ya klabu hiyo, iliyopo ndani ya Uwanja wao, Chamazi. Cheki picha hizo.
         
        Kocha Stewart akiinua nondo


        Add caption

        Luckson Kakolaki

        Kipre Tchetche

        Said Mourad

        Gaudence Mwaikimba


        Zahor Pazi

        Odhiambo Blackberry

        Kipre Balou

        Kutoka kushoto, Ibrahim Shikanda, Himid Mao na Ibrahim Mwaipopo

        Kutoka kulia Jabir Aziz, Ramadhan Chombo na ...

        Kali Ongala akimuelekeza Ibrahim Mwaipopo, kushoto ni Mao


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MASTAA AZAM FC WAKITANUA VIFUA KATIKA GYM LA KISASA CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry