• HABARI MPYA

        Sunday, June 24, 2012

        MASHALI AMTWANGA TKO MAISHA WA MBEYA

        Bondia Thomas Mashali baada hya kutetea ubingwa wake wa TPBO kwa kumpiga Samson Maisha kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya tano usiku huu kwenye ukumbi wa Friends Rangers, Manzese, Dar es Salaam katika pambano la uzito wa Middle.


        Konde la Maisha likimuingia Mashali 


        Maisha anakumbatia, refa anawaachanisha


        Wanaume wanachapana


        Wanachapana


        Mara baada ya kupanda ulingoni, wanapewa mwongozo na refa wakiwa na wasaidizi wao. mwenye kofia ni mtoto wa Mashali


        Abdallah Mohamed kushoto akichapana na Yohana Mathayo kulia katika pambano la uzito wa Middle. Abdallah 'Prince Naseem' alishinda kwa pointi


        Juma Fundi kushoto akivuta kasi kumchapa Shaaban Madilu kulia. Fundi alishinda kwa pointi.


        Yona Godfrey kushoto akizuia konde la Venance Mponji. Yona alishinda kwa pointi.


        Anaondoka ulingoni baada ya kichapo


        Maisha akijikokota kuinuka baada ya kuangushwa na Mashali raundi ya tano










        Wanaume kazini


        Wanaume kazini

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MASHALI AMTWANGA TKO MAISHA WA MBEYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry