• HABARI MPYA

        Thursday, June 28, 2012

        HUYU NDIYE KOCHA MPYA YANGA, ANATUA DAR JUMAPILI


        Na Prince Akbar
        KOCHA mpya wa Yanga kijana mwenye umri wa miaka 39, Tom Saintfiet (pichani kushoto) anatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Jumapili, tayari kuanza kazi.
        Habari za uhakika kutoka Yanga, zimesema kwamba huyo ndiye atarithi mikoba ya Mserbia Kosta Papic, baada ya jaribio la kumpata kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo kugonga mwamba.
        “Atawasili Jumapili, hapa ndio tunashughulikia tiketi yake,”alisema mtoa wa habari wetu kutoka Yanga, alipozungumza na BIN ZUBEIRY.
        WASIFU WAKE
        JINA KAMILITom Saintfiet
        KUZALIWA29 Machi 1973 (Miaka 39)
        ALIPOZALIWAMolUbelgiji
        NAFASI ALIYOCHEZAKiungo
        TIMU ALIZOCHEZEA
        MWAKATIMU

        K.V.C. Westerlo
        K.F.C. Lommel S.K.
        K.F.C. Verbroedering Geel
        TIMU ALIZOFUNDISHA
        1997-2001Lower Belgian Divisions
        2000F.C. Satelitte Abidjan
        2002-2003B71 Sandur
        2002-2003Stormvogels Telstar
        2003-2004Al-Gharafa Sports Club
        2004Qatar U-17
        2005-2006BV Cloppenburg
        2006-2007FC Emmen (Technical Director)
        2008RoPS
        2008-2010Namibia
        2010Zimbabwe
        2010-2011Shabab Al-Ordon
        2011Ethiopia

        MATAJI ALIYOTWAA

        • 2009 Mshindi wa kocha bora wa mwaka  (Namibia)
        • 2008 Kocha bora wa mwaka  (Namibia)
        • 2008-2010 Tuzo maalum kuifikisha Namibia nafasi ya 30 viwango vya FIFA
        • 2008+2009 Robo Fainali Kombe la  COSAFA  (Afrika Kusini)
        • 2005 Kufuzu Nusu Fainali Kombe la NFV(Ujerumani)
        • 2005 Kutwaa Kombe la McDonald (Ujerumani)
        • 2004 Nafasi ya Tatu (Medali ya Shaba) Michauno ya U17 Asia 2004 nchinu Japan, Septemba 2004. Kufuzu Kombe la Dunia 2005 U-17 
        • 2002 Mshindi wa pili katika Ligi  (Visiwa vya Faroe)

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: HUYU NDIYE KOCHA MPYA YANGA, ANATUA DAR JUMAPILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry