Monday, June 04, 2012

    ASHA BARAKA ATAMBULISHA UONGOZI MPYA TWANGA PEPETA


    Mkurugenzi wa African Stars Entertainment (ASET), akitambulisha safu mpya ya uongozi wa bendi. Muddy Pizzaro anakuwa Msemaji wa bendi, Muddy K anakuwa Meneja Matukio, Omary Baraka anaendelea kuwa |Mkurugwenzi Mtendaji, Amigolas anakuwa Meneja wa Bendi, Luiza Mbutu anaendelea kuwa kiongozi wa bendi, akisaidiwa na Saleh Kupaza,James Kibosho anaendelea kiongozi wa jukwaa. Kiongozi wa wanenguaji anaendelea kuwa Asha Sharapova kwa wanawake na kwa wanaume anaendelea kuwa Sidy  Boy. Shughuli hii imefanyika katika ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni, asubuhi hii.

    Asha akiwa amezungukwa na Waandishi
    Asha akizungumza na Waandishi 

    Angela Msangi wa TBC kushoto akipata kitu cha supu

    Victor wa Spoti Starehe kulia na Kambi Mbwana wa Mtanzania

    Shakour wa Global na Mateja kulia

    Meza kuu, wanamuziki nas viongozi

    Wanenguaji wa bendi

    Mkurugenzi Mtendaji, Omary Baraka kazini

    Luiza na Asha

    Mabosi wapya; Muddy Pizzaro kushoto na Muddy K kulia.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ASHA BARAKA ATAMBULISHA UONGOZI MPYA TWANGA PEPETA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry