// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); WACHEZAJI WASIMAMISHA LIGI UGANDA, USAJILII WAANZA UPYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE WACHEZAJI WASIMAMISHA LIGI UGANDA, USAJILII WAANZA UPYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, March 13, 2012

    WACHEZAJI WASIMAMISHA LIGI UGANDA, USAJILII WAANZA UPYA


    Mabango ya chama cha wachezaji Uganda, vipi SPUTANZA ya bongo, inatetea haki za wachezaji ipasavyo?

    MECHI za Ligi Kuu ya Uganda, (USL) wiki hii zimesimamishwa ili kutoa fursa kwa wachezaji na klabu kueleza matatizo yao.
    Katika Mkutano uliohudhuriwa na viongozi wa klabu 13 kati ya jana jioni, wawakilishi wa Victors, Ivan Bagyenda, KCC John Mutenda na Express, Kavuma Kabenge pia waliteuliwa kuongoza mazungumzo kati ya klabu na chama cha wachezaji.
    Chama cha Shirikisho la Wachezaji (Fofpa), kinachowakilisha wachezaji, walianza mgomo Ijumaa iliyopita wakitaka waboreshewe mambo kadhaa na Shirikisho la Soka Uganda (Fufa), ikiwemo maslahi.
    “Tumeamua kusimamisha mechi za Jumanne, Ijumaana Jumamosi za USL kutoa fursa kwa klabu na wachezaji kuwasilisha matatizo yao,” alisema Kabenge, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Ligi Kuu, USL baada ya kikao cha jana katika hoteli ya Sheraton Hotel, Kampala.
    Mechi zilizotarajiwa kupigwa leo ni kati ya Bidco vs Maroons na Hoima-Busia vs URA. Mechi sita zaidi zilitarajiwa kupigwa Ijumaa na Jumamosi.
    Kikao hicho kilifungua dirisha la dharula la usajili kwa siku saba kuanzia leo, ili kutoa fursa kwa klabu kusajili na wachezaji kuhama. Ligi Kuu inatarajiwa kuendelea tena Jumanne inayo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI WASIMAMISHA LIGI UGANDA, USAJILII WAANZA UPYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top