Wachezaji wa Misri walioandamana leo |
WACHEZAJI
wa Misri, wengi wao wa Daraja la Pili leo wamevamia kwa maandamano makao makuu
ya Chaa cha Soka Misri (EFA) mjini Cairo wakipinga ligi za nchini humo
kusimamishwa, bongostaz imeinasa hiyo.
Msemaji
wa EFA, Azmy Moghed alifanya kazi ya ziada kuwatuliza wachezaji hao, lakini
wengi wao, hasa Mostafa Ibrahim, nyota wa Al Terasanah waligoma kutulia.
“EFA
imetudharau sisi na mustakabali wetu na sasa wametuweka katika mazingira magumu
".
“Kama
hawaturudisha kazini au angalau kutulipa mishahara yetu itatuumiza na ni hatari
sana. Leo tupo 60 tu, lakini wakati mwingine tutakuwa mamia "alisema Moghed.
0 comments:
Post a Comment