// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); URA YASONGA MBELE AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE URA YASONGA MBELE AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, March 05, 2012

    URA YASONGA MBELE AFRIKA


    MABINGWA wa Ugand, URA wamesonga mbele katika Raundi ya Pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jumapili baada ya miaka mitatu mfululizo ya kutolewa mapema kwenye michuano hiyo.
    Alex Isabirye alifanya kazi nzuri kwenye Uwanja wa Setsoto, timu hiyo watoza kodi Uganda ikitoa sare ya bila kufungana na Lesotho Correctional Services (LSC) na kusonga mbele, baada ya awali kushinda 3-0 mjini Kampala katika mchezo wa kwanza.
    Shukrani kwao, Nahodha wa URA, Manco Kaaweesa, Sula Bagala na Vincent Kayizzi, Isabirye ambao waliizima timu ya kocha Mosholi ‘Shoes’ Mokhothu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: URA YASONGA MBELE AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top