Felix Sunzu wa Simba kulia chini ya ulinzi mkali wa beki wa Toto jioni ya leo Taifa
SIMBA ya Dar es Salaam imelazimishwa sare ya 1-1 na Toto African ya Mwanza kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni hii. Kwa matokeo hayo, Simba inarejea kileleni mwa ligi hiyo kwa pointi zake 41, sawa na Azam lakini yenyewe ina bao moja zaidi na iko nyuma kwa mchezo mmoja. Yanga, mabingwa watetezi waliofungwa 3-1 na Azam jana wako nafasi ya tatu. Mbio za ubingwa wa Ligi Kuu, sasa wazi ni wa farasi watatu, Simba, Azam na Yanga- maana yake ligi ya mwaka huu ina msisimko zaidi, kwani timu tatu zinawania nafasi mbili za kucheza michuano ya Afrika mwakani.
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment