// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA YAPAA LIGI KUU, YANGA YAJIVUTA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA YAPAA LIGI KUU, YANGA YAJIVUTA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, March 14, 2012

    SIMBA YAPAA LIGI KUU, YANGA YAJIVUTA

    Kikosi cha Simba
    Kikosi cha Yanga
    WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC wamejiimaarisha kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
    Simba sasa wana pointi 44, baada ya kucheza mechi 20 wakati Azam ipo nafasi ya pili kwa pointi zake 41 baada ya kucheza mechi 20 pia, wakati Yanga iliyoifunga African Lyon 1-0 inashika nafasi ya tatu kwa pointi zake 40, ingawa imecheza mechi 19.
    Bao pekee la Simba kwenye mchezo huo, lilitiwa kimiani na kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Mutesa Patrick Mafisango. Bao la Yanga lilikuwa kama la kujifunga, kwani beki Hamisi Yussuf aliokoa mpira ukambabatiza kiungo Kiggi Makassy na kutinga nyavuni.
    Azam itashuka dimbani Jumapili kucheza na Ruvu Shooting Uwanja wa Azam, Chamazi, siku ambayo Simba watakuwa wakimenyana na Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
    Jumamosi Yanga itacheza na Villa Squad Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA YAPAA LIGI KUU, YANGA YAJIVUTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top