KLABU ya Bayern Munich inaweza kuwa na Schweinsteigers msimu
ujao baada ya kaka wa mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani Bastian, kusaini
mkataba wa kujiunga na kikosi cha wachezaji wa akiba wa The Bavarians, klabu
hiyo imesema leo.Mshambuliaji Tobias Schweinsteiger, mwenye umri wa miaka 30, anatarajiwa
kuhama kutoka klabu ya Daraja la Tatu, Jahn Regensburg, ambako alikuwa Nahodha
na mfungaji bora wa timu kwa mabao yake 12 msimu huu. Bastian Schweinsteiger kwa sasa anasumbuliwa na maumivu ya
kifundo cha mguu na yuko nje kwa matibabu.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment