// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); GAUCHO AITWA BRAZIL KIKOSI CHA OLIMPIKI, NEYMAR NAYE NDANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE GAUCHO AITWA BRAZIL KIKOSI CHA OLIMPIKI, NEYMAR NAYE NDANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, March 16, 2012

    GAUCHO AITWA BRAZIL KIKOSI CHA OLIMPIKI, NEYMAR NAYE NDANI


    MKONGWE Ronaldinho ni mmoja kati wachezaji wenye majina makubwa waliojumuishwa kwenye kikosi cha timu ya Brazil cha kocha Mano Menezes kwa ajili ya maandalizi ya awali ya michuano ya Olimpiki mjini London.
    Kocha wa The Selecao ameteua wachezaji 52 wa nguvu kupigania nafasi  18 za kwenda London.
    Ronaldinho ambaye anafanya vizuri katika klabu yak Flamengo ya nyumbani kwao hivi sasa, yuko kwenye kundi la wachezaji wanaowania nafasi tatu maalum kwa wachezaji waliozidi umri wa miaka 23 sambamba na beki wa AC Milan Thiago Silva, beki wa Barcelona Dani Alves na kipa wa Inter, Julio Cesar.
    Mshambuliaji wa Milan, Alexandre Pato, beki wa Real Madrid, Marcelo na beki wa Manchester United, Rafael nao pia wamo kikosini, sambamba na nyota wanaocheza nyumbani wa Kibrazil Neymar, Lucas na Leandro Damiao.

    Kikosi kamili cha Brazil cha watu 52 hiki hapa:
    Adriano (Barcelona), Alex Sandro (Porto), Alexandre Pato (Milan), Allan (Vasco), Andre (Atlético Mineiro), Bernard (Atletico Mineiro), Bruno Uvini ( Tottenham), Daniel Alves (Barcelona), Danilo (Porto), David Luiz (Chelsea), Dede (Vasco), Diego Alves (Valencia), Douglas Costa (Shaktar Donetsk), Dudu (Dynamo Kiev), Elias (Sporting), Elkeson (Botafogo), Fagner (Vasco), Fernandinho (Shaktar Donetsk), Fernando (Gremio), Gabriel (Cruzeiro), Gabriel Silva (Novara)
    Galhardo (Flamengo), Paulo Henrique Ganso (Santos), Giuliano (Dnipro), Henrique (Granada),
    Hernanes (Lazio), Hulk (Porto), Jefferson (Botafogo), Jonas (Valencia), Juan (Internazionale),
    Julio Cesar (Internazionale), Leandro Damiao (Internacional), Lucas (Sao Paulo), Lucas Mendes (Coritiba), Luisao (Benfica), Marcelo (Real Madrid), Marquinhos (Corinthians), Neto (Fiorentina), Neymar (Santos), Oscar (Internacional), Philippe Coutinho (Espanyol), Rafael (Manchester United), Rafael Cabral (Santos), Renan Ribeiro (Atletico Mineiro), Romario (Internacional), Romulo (Vasco), Ronaldinho Gaucho (Flamengo), Sandro (Tottenham), Thiago Silva (Milan), Wellington Nem (Fluminense), Willian Jose (Sao Paulo).
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GAUCHO AITWA BRAZIL KIKOSI CHA OLIMPIKI, NEYMAR NAYE NDANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top