// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
FA ENGLAND WAITAKA SANA TEKNOLOJIA, TENA HARAKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEFA ENGLAND WAITAKA SANA TEKNOLOJIA, TENA HARAKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Robin Van Persie wa Arsenal akifunga bao dhidi ya QPR katika moja ya mechi za Ligi Kuu
CHAMA cha Soka England kimeonyesha nia ya kuitaka haraka sana sheria ya kutumia teknolojia kwenye soka, baada ya Queens Park Rangers kukataliwa bao halali katika mechi ya Ligi Kuudhidi ya Bolton walio hatari kwenye hatari ya kushuka daraja leo.
Video imeonyesha mpira wa kichwa uliopigwa na Clint Hilldakika ya 20ukivuka mstari wa goli, lakini kipa wa Bolton Adam Bogdan akaurudisha mpira huo mchezoni. Matokeo yalikuwa 0-0 wakati huo. Bolton imeshinda 2-1. Tukio hilo linakuja wiki moja baada ya Bodi ya Kimataifa ya Soka, watengeneza sheria za soka, kuona umuhimu wa kutumia teknolojia katika soka. FA imesema leo itaanza kutumia sheria hiyo mara tu itakapopitishwa rasmi.
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment