// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AVB AONDOKA NA GUNDU LAKE CHELSEA, TIMU YAMSOGELEA MWALI WA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAVB AONDOKA NA GUNDU LAKE CHELSEA, TIMU YAMSOGELEA MWALI WA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AVB AONDOKA NA GUNDU LAKE CHELSEA, TIMU YAMSOGELEA MWALI WA FA
Kiungo Mspanyola wa Chelsea, Juan Mata akikosa kwenye mechi hiyo, Uwanja wa St Andrews mjini Birmingham.
KLABU ya Chelsea imetinga Robo Fainali ya Kombe la FA jana kufuatia ushindi wa mabao 2-0 katika mechi ya marudio dhidi ya Birmingham, ambayo ilikuwa ya kwanza tangu kufukuzwa kwa Andre
Villas-Boas. Mabao ya Juan Mata na Raul Meireles skipindi cha pili ndiyo yanayoiwezesha klabu hiyo ya Ligi Kuu kwenda kukutana na timu nyingine ya Daraja la Kwanza,, Leicester.
Roberto Di Matteo, ambaye amerithi mikoba ya aliyekuwa bosi wake, Villas-Boas’
aliwapiga chini kwenye kikosi cha kwanza Frank Lampard,
Didier Drogba, Michael Essien na Daniel Sturridge kwenye mechi hiyo. Tottenham inaikaribisha timu ya Daraja la Pili, Stevenage katika mechi nyingine ya marudio leo.
Setting up for PSG in 30 photos
-
With the games coming thick and fast, our first-team squad have been
stepping up their preparation for the Champions League
FUFA sets up Player Injury surveillance project
-
The field of Sports Medicine is an important part of modern day football
and is a requirement in Club Licensing. Under the FUFA PRO-FOOTBALL pillar
of th...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment