Van Persie, mashabiki wa Arsenal Hong Kong watafurahi kumuona |
KLABU
ya Arsenal itacheza Hong Kong kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 17 katika ziara
lake la kujiandaa na msimu mpya barani Asia, baadaye mwaka huu.
The
Gunners watacheza na mabingwa wa Hong Kong, Kitchee FC kwenye Uwanja wa Hong
Kong Julai 29, siku mbili baada ya kucheza na Manchester City kwenye Uwanja wa
Olimpiki mjini Beijing.
Ofisas
Mtendaji Mkuu wa Arsenal, Ivan Gazidis alisema; “Tuna mashabiki wengi Hong Kong
na ajabu kwamba mashabiki hao maalum watapata fursa kukiona kikosi cha kwanza live
kazini.”
0 comments:
Post a Comment