MKURUGENZI wa Primetime Promotions Joseph Kusaga (Kulia) akishikana mkono na Makamu Mwenyekiti wa Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' mara baada ya kusaini mkataba wa ushirikiano katika kuratibu mchezo wa marudiano wa kombe la Shirikisho baina ya Simba na Kiyovu ya Rwanda utakaopigwa Jumamosi ya Machi 4 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Reece Walsh and Josh Addo-Carr's agents are slapped with huge bans by the
NRL
-
Four of the biggest player agents in the NRL, who manage players including
Reece Walsh and Dylan Brown, have been slapped with hefty bans for
breaching the...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment