MKURUGENZI wa Primetime Promotions Joseph Kusaga (Kulia) akishikana mkono na Makamu Mwenyekiti wa Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' mara baada ya kusaini mkataba wa ushirikiano katika kuratibu mchezo wa marudiano wa kombe la Shirikisho baina ya Simba na Kiyovu ya Rwanda utakaopigwa Jumamosi ya Machi 4 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Cooper Flagg and Duke punch their ticket to March Madness Final Four in
85-65 demolition of Alabama
-
JAKE FENNER IN NEWARK, NEW JERSEY: Sorry, America. They're good again. They
really are just that good again. Duke is off to the Final Four for the 18th
tim...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment