Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na
Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba wakipeana mikono leo jijini Dar
es Salaam ikiwa ni ishara ya kupatana na kumaliza kwa tofauti zao zilizotokana
na sababu za kimuziki zilizodumu kwa muda wa miaka miwili. Huku wapatanisha wa
mgogoro huo Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi
(kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu (kulia) wakishuhudia.
(Picha na Anna Nkinda - Maelezo)
Anambra students back Soludo’s re-election with N2m donation
-
Governor announces bursary for indigenous students From Aloysius Attah,
Onitsha Anambra State students have thrown their weight behind Governor
Chukwuma ...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment