Mwanamuziki na mwanasiasa wa upinzani, Youssou N'Dour akiwa katika Mkutano wa wapinzani kabla ya kutawanywa na Polisi katikati ya Jiji la Dakar leo. Wapinzani Senegal wanaomba ulinzi mpya kufuatia hofu inayotokana na vurugu zinazoendela kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu ambao rais Abdoulaye Wade anawania kwa mara ya tatu mfululizo ingawa anapingwa na wengi. Youssou N'Dour anagombea urais.
Dangote, Adenuga, Rabiu, Otedola named in Forbes’ 2025 African billionaires
list
-
By Seyi Babalola Nigerian business moguls Aliko Dangote, Mike Adenuga,
Abdulsamad Rabiu, and Femi Otedola have secured spots in Forbes’ 2025 list
of Afri...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment