John Bocco wa Azam na Hussein Javu wa Mtibwa Sugar, nchi inahitaji kuwekeza kwa wachezaji hawa ili wawe washambuliaji tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Hawa watu wanahitaji kulishwa vitu vya zaida ambavyo wanakosa sambamba na elimu ya kujitambua, waache ulimbukeni wa kulewa sifa, wawe na malengo ya kufika mbali, ili wajibidiishe zaidi. Ni watu ambao wanaweza kazi na kama taifa litaamua kuwekeza kweli kwa watu hawa, tutakuwa na miaka mitatu ya kushangilia mabao yao. Watu wanaweza kuufanya mpira ukae kwenye eneo la wapinzani. Wana uwezo. Tuwape nafasi na tuwape muda kabla ya kuanza kula matunda yao.
French anaesthetist who poisoned 12 patients to death jailed for life
-
A court finds Frédéric Péchier guilty of contaminating infusion bags with
substances that caused cardiac arrest or hemorrhaging.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment