Bondia Muingereza David Haye, katikati, akiwa na rafiki zake wakipita katika Uwanjua wa Ndege wa Heathrow, London kuelekea Marekani jana. Haye aligombana na bondia mwenzake wa Uingereza, Dereck Chisora aliyetoka kuzipiga na Vitali Klitschko, mjini Munich, Ujerumani Jumamosi. Bodi ya Ngumi Uingereza inafanya uchunguzi juu ya tukio hilo juu ya Chisora na ikibainika atachukuliwa hatua. Haye hawezi kuchukuliwa hatua, kwa sababu bondia huyo wa London amestaafu ndondi mwaka jana baada ya kupiwa na mdogo wake Klitschko, Wladimir, lakini inaaminika Haye anatafutwa na Polisi wa Ujerumani kwa mahojiano juu ya tukio hilo.
300-1! Exeter stunned as wonder horse Blowers breaks 36-year record to
become longest-priced winner in British racing history
-
It has been the year for shocks on racecourses but the biggest of all
arrived at Exeter yesterday when Blowers became the longest priced winner
in British ...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment