Zuhura Mrisho Watuta katika picha tofauti: Zuhura pamoja na kuwa mwanamitindo, aliwahi kufanya kazi ya kupaka rangi magari na nyumba, ambayo nitaaluma yake ya awali aliyoisomea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).
KImwana huyo pia ni mwanamuziki anayefanya vizuri tu akiwa amekwishatoa albamu moja iitwayo Elimu Penzi.
Zuhura ni miongoni mwa wasanii wa awali wa Nyumba ya Vipaji (THT), yenye wakali wengine kama Mwasiti, Marlaw na wengine kibao.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment