// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MA PRO WA YANGA KAZINI LEO KENYA, IVORY COAST - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MA PRO WA YANGA KAZINI LEO KENYA, IVORY COAST - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, March 28, 2009

        MA PRO WA YANGA KAZINI LEO KENYA, IVORY COAST

        Mmoja wa wachezaji wa Yanga walio kazini kwenye timu za za taifa, Ben Mwalala


        BONIPHACE Ambani, George Owino na Ben Mwalala, wachezaji wa Yanga ya Dar es Salaam jioni hii wapo Uwanja wa Kasarani mjini Nairobi, Kenya wakiiongoza timu ya taifa ya nchi yao, Harambee Stars katika mchezo wa kuwania kufuzu kwenye fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, dhidi ya Tunisia.
        Aidha, beki wa kimataifa wa Yanga, Wisdom Ndhlovu naye atakuwa akiiongoza timu yake ya taifa, Malawi wakati itapokuwa kwenye mtihani kama huo wa Kenya, dhidi ya Ivory Coast mjini Abidjan.





        RATIBA KAMILI
        Kenya vs. Tunisia
        Rwanda vs. Algeria
        Togo vs. Cameroon
        Sudan vs. Mali
        Burkina Faso vs. Guinea
        Morocco vs. Gabon
        Mozambique vs. Nigeria
        Ivory Coast vs. Malawi
        Ghana vs. Benin
        Misri vs. Zambia
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MA PRO WA YANGA KAZINI LEO KENYA, IVORY COAST Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry