• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Saturday, March 07, 2026
    CHAMA NA LOEMBA WAFUNGA SIMBA SC YASONGA MBELE KOMBE LA CRDB

    CHAMA NA LOEMBA WAFUNGA SIMBA SC YASONGA MBELE KOMBE LA CRDB

    VIGOGO, Simba SC wamejikatia tiketi ya Hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB...
    Friday, March 06, 2026
    JKT TANZANIA YATINGA 16 BORA KOMBE LA CRDB

    JKT TANZANIA YATINGA 16 BORA KOMBE LA CRDB

    TIMU ya JKT Tanzania imefanikiwa kutinga Hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CR...
    Thursday, March 05, 2026
    YANGA SC YAIBAMIZA SINGIDA BLACK STARS 3-0 SINGIDA

    YANGA SC YAIBAMIZA SINGIDA BLACK STARS 3-0 SINGIDA

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzani...
    AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA TANZANIA PRISONS 0-0 SOKOINE

    AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA TANZANIA PRISONS 0-0 SOKOINE

    TIMU ya Azam FC imetoa sare ya bila kufungana na wenyeji, Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanj...
    Wednesday, March 04, 2026
    ULINZI NA USALAMA MICHEZONI NI MIONGONI MWA VIPAUMBELE VYA MAANDALIZI YA  AFCON 2027

    ULINZI NA USALAMA MICHEZONI NI MIONGONI MWA VIPAUMBELE VYA MAANDALIZI YA AFCON 2027

    KATIKA kuendelea na  maandalizi ya mashindano ya AFCON 2027,  Kamati ya Kitaifa ya mashindano hayo, imeanza kuweka mikakati madhubuti ya  ul...
    Tuesday, March 03, 2026
    FOUNTAIN GATE YAICHAPA MBEYA CITY 1-0 PALE PALE SOKOINE

    FOUNTAIN GATE YAICHAPA MBEYA CITY 1-0 PALE PALE SOKOINE

    TIMU ya Fountain Gate imepata ushindi wa ugenini wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jion...
    Monday, March 02, 2026
    PAMBA NA AZAM FC NGOMA DROO MWANZA, ZAFUNGANA 2-2 CCM KIRUMBA

    PAMBA NA AZAM FC NGOMA DROO MWANZA, ZAFUNGANA 2-2 CCM KIRUMBA

    TIMU ya Azam FC imelazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 na wenyeji, Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya l...
    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 BAO LA GUEDE

    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 BAO LA GUEDE

    WENYEJI, Singida Black Stars wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya ...
    Sunday, March 01, 2026
    YANGA NA SIMBA HAKUNA MBABE, ZATOKA SULUHU ZANZIBAR

    YANGA NA SIMBA HAKUNA MBABE, ZATOKA SULUHU ZANZIBAR

    WATANI wa Jadi, Simba na Yanga wametoshana nguvu kwa sare ya bila mabao katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya watani, Simb...
    HASHEEM THABEET RAIS MPYA WA MPIRA WA KIKAPU TANZANIA

    HASHEEM THABEET RAIS MPYA WA MPIRA WA KIKAPU TANZANIA

    NYOTA wa zamani wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA), Hasheem Thabeet amechaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania ...
    Thursday, February 26, 2026
    NAMUNGO YATOA SARE 1-1 NA SINGIDA BLACK STARS RUANGWA

    NAMUNGO YATOA SARE 1-1 NA SINGIDA BLACK STARS RUANGWA

    Mshambuliaji Mkenya, Elvis Baranga Rupia akishangilia baada ya kuifungia Singida Black Stars bao la kuongoza TIMU ya Namungo FC imetoa sare ...
    TRA UNITED YAICHAPA FOUNTAIN GATE 4-1 KARATU

    TRA UNITED YAICHAPA FOUNTAIN GATE 4-1 KARATU

    Mshambuliaji wa TRA United, Enock Jiah Mkanga amekuwa Mchezaji Bora wa Mechi baada ya kufunga mabao mawili leo   TIMU ya TRA United imeibuka...
    Wednesday, February 25, 2026
    AZAM FC YAITANDIKA  MTIBWA SUGAR 3-0 CHAMAZI

    AZAM FC YAITANDIKA MTIBWA SUGAR 3-0 CHAMAZI

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku hui Uwanja wa Az...
    SIMBA SC YAKWAA KISIKI DODOMA, SULUHU NA DODOMA JIJI 0-0 JAMHURI

    SIMBA SC YAKWAA KISIKI DODOMA, SULUHU NA DODOMA JIJI 0-0 JAMHURI

    TIMU ya Simba SC imetoa sare ya bila kufungana na wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa...
    YANGA YAIMIMINIA MABAO 5-0 JKT TANZANIA MWENGE

    YANGA YAIMIMINIA MABAO 5-0 JKT TANZANIA MWENGE

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya ...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top