• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Wednesday, February 18, 2026
    no image

    YANGA SC YAICHAPA COSMO 2-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA CRDB

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cosmopolitan katika mchezo wa Raundi ya Pili Kombe la Shirikisho la S...
    Tuesday, February 17, 2026
    SIMBA SC YATINGA RAUNDI YA TATU KOMBE LA CRDB, KMC NJE

    SIMBA SC YATINGA RAUNDI YA TATU KOMBE LA CRDB, KMC NJE

    VIGOGO, Simba SC wamefanikiwa kwenda Raundi ya Tatu ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB ...
    Sunday, February 15, 2026
    SINGIDA BLACK STARS YAMALIZA NA SARE AFRIKA KUSINI

    SINGIDA BLACK STARS YAMALIZA NA SARE AFRIKA KUSINI

    TIMU ya Singida Black Stars imetoa sare ya bila mabao na wenyeji, Stellenbosch katika mchezo wa mwisho wa Kundi C Kombe la Shirikisho Afrika...
    YANGA SC YAWACHAPA WAARABU 3-0, LAKINI NDIYO HIVYO!

    YANGA SC YAWACHAPA WAARABU 3-0, LAKINI NDIYO HIVYO!

    NDOTO za Yanga SC kwenda Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zimeyeyuka leo licha ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JS Kabylie katika mch...
    AZAM FC YACHAPWA 2-0 NA WYDAD CASABLANCA KOMBE LA SHIRIKISHO

    AZAM FC YACHAPWA 2-0 NA WYDAD CASABLANCA KOMBE LA SHIRIKISHO

    TIMU ya Azam FC imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Wydad AC katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Shirikisho Afrika jioni ya leo Uwanja w...
    Saturday, February 14, 2026
    SIMBA SC YAMALIZA KWA HESHIMA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA

    SIMBA SC YAMALIZA KWA HESHIMA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA

    TIMU ya Simba SC imehitimisha mechi zake za Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika kwa ushindi Wa 1-0 dhidi ya  Stade Malien ya Mali usiku huu Uwan...
    TANZANIA YAITOA KENYA KUFUZU KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U20

    TANZANIA YAITOA KENYA KUFUZU KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U20

    TANZANIA imeitoa Kenya katika mbio za kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake chini ya umri wa miaka 20 kufuzu Fainali za K...
    TANZANIA PRISONS YAICHAPA NAMUNGO FC 3-2 SOKOINE

    TANZANIA PRISONS YAICHAPA NAMUNGO FC 3-2 SOKOINE

    WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo ...
    Friday, February 13, 2026
    MASHUJAA YAZINDUKA CHINI YA JULIO, YAICHAPA MTIBWA 3-1 DODOMA

    MASHUJAA YAZINDUKA CHINI YA JULIO, YAICHAPA MTIBWA 3-1 DODOMA

    IKIONGOZWA na Kocha mpya kwa mara ya kwanza, Jamhuri Kihwelo 'Julio' timu ya Mashujaa FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya M...
    JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE KWA COASTAL UNION, 1-1 MBWENI

    JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE KWA COASTAL UNION, 1-1 MBWENI

    TIMU ya JKT Tanzania imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
    Thursday, February 12, 2026
    DODOMA JIJI YAICHAPA TRA UNITED 3-0 UWANJA WA JAMHURI

    DODOMA JIJI YAICHAPA TRA UNITED 3-0 UWANJA WA JAMHURI

    TIMU ya Dodoma Jiji FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja ...
    Wednesday, February 11, 2026
    SIMBA SC YARUDI NA MOTO LIGI KUU, YAILAMBA KMC 2-0 MWENGE

    SIMBA SC YARUDI NA MOTO LIGI KUU, YAILAMBA KMC 2-0 MWENGE

    TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja w...
    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 1-0 CHAMAZI

    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 1-0 CHAMAZI

    TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya...
    KIBU DENIS KWAHERI SIMBA SC , AJIUNGA A AL NASR YA LIBYA

    KIBU DENIS KWAHERI SIMBA SC , AJIUNGA A AL NASR YA LIBYA

    KLABU ya Simba imemtakia kila la heri mshambuliaji wake, Kibu Denis Prosper ambaye anahamia Al Nasr SC ya Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja n...
    Tuesday, February 10, 2026
    PAMBA JIJI YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 CCM KIRUMBA

    PAMBA JIJI YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 CCM KIRUMBA

    WENYEJI, Pamba Jiji FC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanj...
    COASTAL UNION YAIBAMIZA TANZANIA PRISONS 4-1 PALE PALE SOKOINE

    COASTAL UNION YAIBAMIZA TANZANIA PRISONS 4-1 PALE PALE SOKOINE

    TIMU ya Coastal Union imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana huu U...
    Monday, February 09, 2026
    YANGA NA COSMO, SIMBA NA GREENLAND KOMBE LA CRDB

    YANGA NA COSMO, SIMBA NA GREENLAND KOMBE LA CRDB

    DROO ya Hatua ya Timu 64 Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB imefanyika leo Studio za Azam ...
    JKT TANZANIA YAWACHAPA MASHUJAA FC 1-0 MBWENI

    JKT TANZANIA YAWACHAPA MASHUJAA FC 1-0 MBWENI

    WENYEJI, JKT Tanzania wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanj...
    Sunday, February 08, 2026
    DODOMA JIJI YAICHAPA KMC FC 2-1 UWANJA WA JAMHURI

    DODOMA JIJI YAICHAPA KMC FC 2-1 UWANJA WA JAMHURI

    TIMU ya Dodoma Jiji imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC FC katika mchezo Wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa J...
    SINGIDA BLACK STARS YAUMALIZA MWENDO KOMBE LA SHIRIKISHO

    SINGIDA BLACK STARS YAUMALIZA MWENDO KOMBE LA SHIRIKISHO

    MATUMAINI ya Singida Black Stars kwenda Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika yamezidi kufifia baada ya kuchapwa bao 1-0 na CR Belouizdad ...
    YANGA SC YACHAPWA 1-0 NA AS FAR RABAT NCHINI MOROCCO

    YANGA SC YACHAPWA 1-0 NA AS FAR RABAT NCHINI MOROCCO

    MATUMAINI ya Yanga SC kwenda Robo Fainali yameingia doa baada ya kuchapwa bao 1-0 na wenyeji, AS FAR Rabat katika mchezo wao wa Kundi B Ligi...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top