• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Wednesday, January 28, 2026
    COASTAL UNION YABANWA MBAVU NA KMC MKWAKWANI

    COASTAL UNION YABANWA MBAVU NA KMC MKWAKWANI

    WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku wa kuamkia le...
    Tuesday, January 27, 2026
    DEPU AFUNGA MAWILI YANGA YAICHAPA DODOMA JIJI FC 3-1 MWENGE

    DEPU AFUNGA MAWILI YANGA YAICHAPA DODOMA JIJI FC 3-1 MWENGE

    MABINGWA watetezi, Young Africans, maarufu tu kama Yanga SC wametoka nyuma na kushinda mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Li...
    Monday, January 26, 2026
    Sunday, January 25, 2026
    MTIBWA SUGAR YAICHAPA PAMBA JIJI 1-0 DAKIKA ZA JIONI

    MTIBWA SUGAR YAICHAPA PAMBA JIJI 1-0 DAKIKA ZA JIONI

    TIMU ya Mtibwa Sugar imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja w...
    SINGIDA BLACK STARS YAWACHAPA WAKONGO 1-0 ZANZIBAR

    SINGIDA BLACK STARS YAWACHAPA WAKONGO 1-0 ZANZIBAR

    TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa bao 1-0  AS Otohô ya Kongo-Brazzaville katika mchezo wa Kundi C Kombe la Shirikisho Afrik...
    TANZANIA PRISONS NA JKT TANZANIA ZATOKA SULUHU SOKOINE

    TANZANIA PRISONS NA JKT TANZANIA ZATOKA SULUHU SOKOINE

    WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bila mabao na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwan...
    AZAM FC YANG'ARA UGENINI MICHUANO YA AFRIKA, YASHINDA 2-1 KENYA

    AZAM FC YANG'ARA UGENINI MICHUANO YA AFRIKA, YASHINDA 2-1 KENYA

    TIMU ya Azam FC imetoka nyuma na kushinda mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Nairobi United katika mchezo wa Kundi B Kombe la Shirikisho Afrika jio...
    Saturday, January 24, 2026
    SIMBA SC YACHAPWA KIMOJA NA ESPERANCE TUNISIA

    SIMBA SC YACHAPWA KIMOJA NA ESPERANCE TUNISIA

    TIMU ya Simba imeendelea kusuasua katika Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuchapwa bao 1-0 na wenyeji, Espérance katika ...
    Friday, January 23, 2026
    NAMUNGO FC YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 RUANGWA

    NAMUNGO FC YAICHAPA COASTAL UNION 1-0 RUANGWA

    TIMU ya Namungo FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa ...
    YANGA SC YATELEZA UGENINI, YACHAPWA 2-0 NA AHLY ALEXANDRIA

    YANGA SC YATELEZA UGENINI, YACHAPWA 2-0 NA AHLY ALEXANDRIA

    TIMU ya Yanga imeteleza ugenini baada ya kuchapwa mabao 2-0 na wenyeji, Al Ahly katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika usiku huu U...
    DUKE ABUYA MCHEZAJI BORA, PEDRO KOCHA BORA LIGI KUU DESEMBA

    DUKE ABUYA MCHEZAJI BORA, PEDRO KOCHA BORA LIGI KUU DESEMBA

    KIUNGO Mkenya, Duke Ooga Abuya amechaguliwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa mwezi Desemba, huku Mreno, Pedro Valdemar Soa...
    STEPHANE AZIZ KI AJIUNGA NA AL ITTIHAD YA LIBYA

    STEPHANE AZIZ KI AJIUNGA NA AL ITTIHAD YA LIBYA

    MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki amejiunga na Al Ittihad ya Libya baada ya kuitumikia Wydad AC kwa nusu msimu tu ...
    Thursday, January 22, 2026
    DODOMA JIJI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 JAMHURI

    DODOMA JIJI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 JAMHURI

    TIMU ya Dodoma Jiji FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwa...
    AHOUA AJIUNGA NA CR BELOUIZDAD KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI A NUSU

    AHOUA AJIUNGA NA CR BELOUIZDAD KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI A NUSU

    KLABU ya Chabab Riadhi Belouizdad, maarufu tu kama CR Belouizdad ya Algeria imemsajili kiungo mshambuliaji Muivory Coast, Jean Charles Ahoua...
    Wednesday, January 21, 2026
    MTIBWA SUGAR YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 DODOMA

    MTIBWA SUGAR YAICHAPA MBEYA CITY 2-1 DODOMA

    TIMU ya Mtibwa Sugar imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City katika mfululizo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwa...
    Tuesday, January 20, 2026
    JKT TANZANIA YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 1-0

    JKT TANZANIA YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 1-0

    TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja...
    DIARRA AREJEA MAZOEZI YANGA BAADA YA KUIFIKISHA ROBO FAINALI MALI AFCON

    DIARRA AREJEA MAZOEZI YANGA BAADA YA KUIFIKISHA ROBO FAINALI MALI AFCON

    KIPA Djigui Diarra amejiunga na timu yake, Yanga leo baada ya mapumziko mafupi kufuatia Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 a...
    AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA FOUNTAIN GATE CHAMAZI

    AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA FOUNTAIN GATE CHAMAZI

    TIMU ya Azam FC imelazimishwa sare ya bila mabao na Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa A...
    SIMBA SC YAMTAMBULISHA BEKI MPYA MUIVORY COAST ALIKUWA ANACHEZA ABU DHABI

    SIMBA SC YAMTAMBULISHA BEKI MPYA MUIVORY COAST ALIKUWA ANACHEZA ABU DHABI

    KLABU ya Simba imemtambulisha beki wa kati, Ismaël Olivier Touré (28) kujiunga na Wekundu hao wa Msimbazi akitokea FC Baniyas ya Abu Dhabi, ...
    Monday, January 19, 2026
    SIMBA SC YAMTAMBULISHA RASMI KIBABAGE KUJIUNGA ‘UNYAMANI’

    SIMBA SC YAMTAMBULISHA RASMI KIBABAGE KUJIUNGA ‘UNYAMANI’

    KLABU ya Simba SC imemtambulisha beki wa kushoto, Nickson Clement Kibabage (25) kuwa mchezaji wake mpya akijiunga na klabu hiyo kutoka Singi...
    DEPU AANZA VYEMA YANGA SC IKISHINDA 6-0 MWENGE

    DEPU AANZA VYEMA YANGA SC IKISHINDA 6-0 MWENGE

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya l...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    HABARI ZA ASIA

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top