// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6

HABARI MOTOMOTO

HABARI YA KIMATAIFA

  • HABARI ZA NYUMBANI
  • SIMBA
  • YANGA
  • AZAM
Monday, April 07, 2025
DODOMA JIJI ILIVYOITANDIKA KENGOLD 3-0 JANA UWANJA WA JAMHURI

DODOMA JIJI ILIVYOITANDIKA KENGOLD 3-0 JANA UWANJA WA JAMHURI

WENYEJI, Dodoma Jiji jana waliibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Jamhur...
Sunday, April 06, 2025
SINGIDA BLACK STARS YAIKANDA AZAM FC 1-0 UWANJA WA LITI

SINGIDA BLACK STARS YAIKANDA AZAM FC 1-0 UWANJA WA LITI

WENYEJI, Singida Black Stars wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
TANZANIA PRISONS YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 SOKOINE

TANZANIA PRISONS YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 SOKOINE

WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo ...
Saturday, April 05, 2025
MASHUJAA YAIKUNG’UTA FOUNTAIN GATE 3-0 KIGOMA

MASHUJAA YAIKUNG’UTA FOUNTAIN GATE 3-0 KIGOMA

WENYEJI, Mashujaa FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa L...
PAMBA JIJI YAICHAPA TABORA UNITED 1-0 KIRUMBA

PAMBA JIJI YAICHAPA TABORA UNITED 1-0 KIRUMBA

WENYEJI, Pamba Jiji wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM ...
Thursday, April 03, 2025
KAGERA SUGAR YAICHAPA COASTAL UNION 2-1 KAITABA

KAGERA SUGAR YAICHAPA COASTAL UNION 2-1 KAITABA

WENYEJI, Kagera Sugar wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
AZAM FC YAICHIMBIA KABURI KENGOLD, YAICHAPA 2-0 SOKOINE

AZAM FC YAICHIMBIA KABURI KENGOLD, YAICHAPA 2-0 SOKOINE

TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Soko...
JKT TANZANIA NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE, SARE 2-2 MBWENI

JKT TANZANIA NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE, SARE 2-2 MBWENI

WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja...
Wednesday, April 02, 2025
SIMBA SC YACHAPWA MABAO 2-0 NA AL MASRY

SIMBA SC YACHAPWA MABAO 2-0 NA AL MASRY

TIMU ya Simba SC imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Al Masry katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa N...
SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-0 MANYARA

SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-0 MANYARA

TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Ba...
KMC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 3-2 MWENGE

KMC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 3-2 MWENGE

WENYEJI, KMC wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Halmas...
YANGA YAWAADABISHA TABORA UNITED, YAWACHAPA 3-0 MWINYI

YANGA YAWAADABISHA TABORA UNITED, YAWACHAPA 3-0 MWINYI

MABINGWA watetezi, Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara le...
PAMBA JIJI YAAMBULIA SARE KWA NAMUNGO, 1-1 KIRUMBA

PAMBA JIJI YAAMBULIA SARE KWA NAMUNGO, 1-1 KIRUMBA

WENYEJI, Pamba Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa C...
Sunday, March 30, 2025
Saturday, March 29, 2025
MABINGWA WATETEZI, YANGA NAO WATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

MABINGWA WATETEZI, YANGA NAO WATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

MABINGWA watetezi, Yanga wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya...
Friday, March 28, 2025
KAGERA SUGAR YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

KAGERA SUGAR YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

TIMU ya Kagera Sugar imefanikiwa kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Ben...
Thursday, March 27, 2025
Wednesday, March 26, 2025
STAND UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

STAND UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

TIMU ya Stand United imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB...
TAIFA STARS YACHAPWA 2-0 NA MOROCCO KIFUZU KOMBE LA DUNIA

TAIFA STARS YACHAPWA 2-0 NA MOROCCO KIFUZU KOMBE LA DUNIA

TIMU ya taifa ya soka ya Tanzania usiku wa kuamkia leo imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Morocco katika mchezo wa Kundi E kufuzu Fainali za Ko...

HABARI ZA AFRIKA

HABARI ZA KIMATAIFA

NDONDI

MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

MAKALA