// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SASA NI SAJENTI IBRAHIM ABDALLAH HAMAD, BACCA APANDISHWA CHEO KMKM - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SASA NI SAJENTI IBRAHIM ABDALLAH HAMAD, BACCA APANDISHWA CHEO KMKM - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Monday, March 17, 2025

    SASA NI SAJENTI IBRAHIM ABDALLAH HAMAD, BACCA APANDISHWA CHEO KMKM


    BEKI wa Yanga, Ibrahim Abdallah Hamad ‘Bacca’ amepandishwa cheo kazini kwake, Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kutoka Koplo na kuwa Sajenti.
    Hatua hiyo ya KMKM kumpandisha cheo Bacca ni taratibu za kawaida kulingana na muda na ufanisi wake kazini — huku akiendelea kufanya vyema kisoka katika klabu yake na timu ya taifa, Taifa Stars.


    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SASA NI SAJENTI IBRAHIM ABDALLAH HAMAD, BACCA APANDISHWA CHEO KMKM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry