// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TANZANIA PRISONS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-2 SOKOINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TANZANIA PRISONS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-2 SOKOINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, October 01, 2024

    TANZANIA PRISONS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-2 SOKOINE


    TIMU ya Tanzania Prisons imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
    Mabao ya Tanzania Prisons yamefungwa na Nurdin Chona kwa penalti dakika ya 25, Ezekia Mwashilindi dakika ya 48 na Vedastus Mwihambi dakika ya 50, wakati ya Fountain Gate yamefungwa na Suleiman Mwalimu dakika ya 12 na Kassim Suleiman dakika ya 37.
    Kwa ushindi huo wa kwanza wa msimu, Tanzania Prisons inafikisha pointi saba katika mchezo wa sita, wakati Fountain Gate inabaki na pointi zake 13 za mechi saba sasa.
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA PRISONS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-2 SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top