// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KAGERA SUGAR YAPATA MNYONGE, YAICHAPA KEN GOLD 2-0 KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KAGERA SUGAR YAPATA MNYONGE, YAICHAPA KEN GOLD 2-0 KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, September 20, 2024

    KAGERA SUGAR YAPATA MNYONGE, YAICHAPA KEN GOLD 2-0 KAITABA


    WENYEJI, Kagera Sugar wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
    Mabao ya Kagera Sugar yamefungwa na mshambuliaji Mganda, Peter Lwasa dakika ya kwanza na 65 na ushindi huo wa kwanza unaifanya timu hiyo ifikishe pointi nne katika mchezo wa tano kufuatia kufungwa mechi tatu awali na kutoa sare moja.
    Kwa upande wao Ken Gold waliopanda Ligi Kuu msimu huu wanafikisha mechi nne bila ushindi, tena wakifungwa zote 3-1 na Singida  Black Stars, 2-1 na Fountain Gate na 1-0 na KMC.
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAGERA SUGAR YAPATA MNYONGE, YAICHAPA KEN GOLD 2-0 KAITABA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top