// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AHOUA APIGA MBILI SIMBA SC YASHINDA 3-0 MISRI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AHOUA APIGA MBILI SIMBA SC YASHINDA 3-0 MISRI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, July 22, 2024

    AHOUA APIGA MBILI SIMBA SC YASHINDA 3-0 MISRI


    TIMU ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya El-Qanah, ambayo pia inajulikana kama Canal SC au Suez Canal katika mechi ya kwanza ya kujipima umbavu kwenye kambi yake ya mjini Ismailia nchini Misri Uwanja wa Old Suez Canal.
    Mabao ya Simba SC yamefungwa na viungo, Muivory Coast Jean Charles Ahoua mawili, dakika ya 14 na 16 na Mnigeria,  Augustine Okejepha dakika ya 120.
    Simba SC imeweka kambi ya kujiandaa na msimu mjini Ismailia nchini Mısri na inatarajiwa kurejea nchini mapema Agosti kwa ajili ya tamasha la Simba Day Agosti 3 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    Baada ya hapo Simba itarejea Uwanja wa Mkapa Agosti 8 kumenyana na watani, Yanga katika mchezo wa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AHOUA APIGA MBILI SIMBA SC YASHINDA 3-0 MISRI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top